• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jafo apongeza Jiji Dodoma, TARURA ujenzi wa barabara imara

Imewekwa tarehe: January 25th, 2021

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, SelemaniJafo ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na Wakala wa Barabaramijini na Vijijini (TARURA) kwa ujenzi imara wa barabara Jamhuri na Msikiti waGadafi, yenye urefu wa kilomita 1,

Aidha, ametoa miezi 5 kukamilishwa kwa ujenzi wa barabara ya Nkuhungu-JCTChamwino yenye kilomita 1, inayokarabatiwa kwa kiwango cha lami nyepesi.

Jafo alitoa pongezi wiki iliyopita (tarehe 21/01/2021) jijini Dodoma marabaada ya kukagua ujenzi wa Barabara hizo.  

Alisema ameridhishwa na ujezi wa barabara ya lami nzito uliotekelezwa naMkandarasi Nyanza Road kwa Gharama ya Sh bilioni 1.072 kwa muda wa siku 60,huku akihimiza kuimarisha usafi wa mitaro ya barabara hiyo.

“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya mimi hapa sina wasiwasi kabisa, nimeridhika naujenzi huu na hasa ikizingatiwa kwamba eneo hili yanapita magari yenye uzitotofauti tofauti yakiwepo malori, hivyo kujenga kwa kiwango hiki cha laminzito ilikuwa ni sahihi kabisa” 

Akiwa katika eneo la Barabara ya Nkuhungu- JCT Chamwino, Jafo, alitaka kujuamuda sahihi uliopangwa kukabidhi kazi hiyo ambayo imesita kwa muda kutokana nahali ya hewa.

Awali, Mhandisi wa TARURA Mkoa Lusako Kilembe, alimwambia Mhe. Waziri, kazihiyo inatazamiwa kukabidhiwa mwezi wa sita hatua iliyomlazimu Waziri kutoamaelekezo ya kuharakishwa kwa kazi.

“Mtendaji mkuu wa TARURA, huyu Mhandisi, msije mkamhamisha hapa anaonekanani mtu anayefahamu vema majukumu yake na hasa kwa mahitaji ya Makao Makuu yaNchi, nitoe rai tu, kufikia mwezi Juni kwa tarehe iliyopangwa kazi hii iweimekamilika."

Barabara ya Nkuhungu JCT Chamwino inajengwa kwa gharama ya Sh milioni 819.4,ambapo ujenzi wake unategemea kuchukua siku 180 hadi kumalizika. 

Mhandisi Lusajo, aliahidi muda uliobakia ambao ni siku   siku 140wakati maendeleo ya mradi huo umefikia asilimia 10 ya mradi mzima.

Akisoma taarifa ya ujenzi, Mhandisi wa TARURA, Mkoa wa Dodoma LusakoKilembe, alisema changamoto kubwa iliyoathiri mradi kutokamilika kwa wakati nimvua zinazoendelea kunyesha mfululizo mkoani hapo.

Barabara ya Nkuhungu JCT Chamwino, inajengwa na Mkandarasi G’s ContractorsCo. Ltd ya mkoani Iringa, ambapo urefu wa barabara ni Kilomita 1 inayojengwakwa kiwango cha lami nyepesi, ujenzi wa mifereji ya maji, mita 300 ujenzi wakalvat 8 na uwekaji wa alama za barabarani.

Waziri Jafo, alikuwa katika ziara za kukagua miradi mbalimbali ya maendeleoinayotekelezwa na wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA mjini Dodoma.


Chanzo: Tovuti ya TAMISEMI

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.