• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tujitokeze kwa hamasa na bashasha kubwa kupokea Mwenge wa Uhuru- DC Shekimweri

Imewekwa tarehe: July 2nd, 2024

MKUU wa Wilaya ya Dodoma Alhaj. Jabir Shekimweri amewataka wakazi wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kuupokea kuushangilia na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru pindi utakapoingia ndani ya Wilaya ya Dodoma.

Wito huo ameutoa alipokutana na waandishi wa Habari ofisini kwake kwa lengo la kuwakaribisha wananchi kupitia vyombo vya habari kushiriki kuupokea Mwenge wa Uhuru 2024.

Alhaj Shekimweri alisema kuwa Mwenge wa Uhuru 2024 utaingia ndani ya Wilaya ya Dodoma tarehe 03 Julai, 2024 ukitokea Wilaya ya Chemba utakimbizwa umbali wa km 45. 9 utatembelea, kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi saba  yenye thamani ya shilingi 7,096,668,714.32.

“Ningependa kuchukua nafasi hii kuwakaribisha wanadodoma wote tujitokeze kwa wingi, kwa hamasa na bashasha kubwa kuupokea Mwenge wa Uhuru utakapokuwa kwenye ratiba ya mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Dodoma katika wilaya yetu. Mwenge wa Uhuru utapokelewa shule ya sekondari John Merlin ukitokea Wilaya ya Chemba na baada ya makabidhiano utaanza kutembelea kwenye miradi”.

Akiongelea miradi itakayopitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru 2024, Alhaj Shekimweri alisema Mwenge wa Uhuru 2024 Wilaya ya Dodoma utaweka Jiwe la Msingi kwenye miradi mitatu mradi wa Kituo cha vyombo vya Habari cha Dodoma Media Group wenye gharama ya shilingi Bilioni 1,000,000,000.00, Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Ilazo wenye gharama ya shilingi Bilioni 3,094,983,663.32 na Mradi wa ujenzi wa barabara ya Judiciary kilomita 02 wenye gharama ya shilingi Bilioni 2,409,187,951.00.

“Mbio za Mwenge wa Uhuru zitatembelea Mradi wa Bagamoyo garden wa Utunzaji na Uhifadhi wa Mazingira wenye gharama ya shilingi Milioni 25,700,000.00, Mradi wa TEMBEKEZA ENTERPRISES wenye gharama ya shilingi Milioni 50,000,000.00, Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Upimaji Nkuhungu wenye gharama ya shilingi Milioni 50,000,000.00 na kuzindua Mradi wa ujenzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza (Dodoma English Medium (wenye gharama ya shilingi Milioni 458,047,800.00” alimalizia.







Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.