Imewekwa tarehe: November 22nd, 2022
WANAFUNZI takribani 130,000 wa shule za msingi ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma wenye umri kuanzia miaka mitano hadi 14 kupewa kingatiba kwaajili ya kuzuia ugonjwa wa Kichocho na kutibu Minyoo.
...
Imewekwa tarehe: November 21st, 2022
SERIKALI imesema itaendelea kuwekeza kwenye maeneo tofauti yanayohusu afya ya kinywa na meno na tasnia zinazoambatana na kada hiyo ili kuboresha afya ya Kinywa na Meno nchini.
Kauli hiyo ya Serikal...
Imewekwa tarehe: November 20th, 2022
WAKURUGENZI wa Halmashauri nchini wametakiwa kutekeleza miradi ya sekta ya elimu kwa kufuata miongozo ili kupunguza hasara zinazoweza kujitokeza pindi miradi hiyo ikitekelezwa kinyume na utaratibu.
...