Imewekwa tarehe: August 30th, 2021
SERIKALI imetoa kiasi cha Shilingi bilioni 1.3 ili kukamilisha mradi wa maji kwa wakazi wa Njendengwa, Ihumwa, Nzuguni, Nyumba mia tatu, Iyumbu, Soko Kuu la Job Ndugai na FFU jijini Dodoma.
Hayo ...
Imewekwa tarehe: August 30th, 2021
KIKUNDI cha Tujikubali walemavu kinachoendesha kiwanda kidogo cha kutengeneza viatu vya ngozi kinakabiliwa na changamoto ya masoko jambo linalosababisha kusua kwa marejesho.
Kauli hiyo ilitolewa na...
Imewekwa tarehe: August 30th, 2021
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepanga kuendeleza bwawa la Zuzu ili kuwa na tija kwa wakazi wa Jiji hilo kwa kuwahakikishia lishe bora na kuongeza mapato ya ndani.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa I...